Upatikanaji viungo

Breaking News
Ijumaa, Machi 29, 2024 Local time: 13:52

Trump amshutumu Nancy Pelosi kuanzisha uchaguzi dhidi yake


Trump amshutumu Nancy Pelosi kuanzisha uchaguzi dhidi yake
please wait

No media source currently available

0:00 0:02:45 0:00

Rais wa Marekani Donald Trump amelaani hatua ya spika wa Nancy Pelosi ya kuitisha uchunguzi wa kumfungulia mashtaka ya kumwondoa madarakani, kuhusiana na madai kwamba Trump alijaribu kuishawishi Ukraine kuchunguza familia ya makamu wa rais wa zamani Joe Biden.

XS
SM
MD
LG