Rais wa Afrika kusini, Cyril Ramaphosa amelaani vitendo vya uporaji, na mashambulizi kwa wafanyabiashara wa kigeni Jijini nchini humo. Na Mtendaji mkuu wa Hong Kong, Carrie Lam hivi ametangaza serikali yake itauondoa rasmi mswaada wa kuwakabidhi washukiwa wa uhalifu kwa China Bara,