Upatikanaji viungo

Breaking News
Alhamisi, Aprili 18, 2024 Local time: 06:41

Ufarasa na Brazil zalumbana kuhusu moto wa Amazon


Ufarasa na Brazil zalumbana kuhusu moto wa Amazon
please wait

No media source currently available

0:00 0:03:55 0:00

Viongozi wa Ufaransa na Brazil wanaendelea kujibizana kwa maneno makali kuhusu moto unaoendelea kuteketeza msitu mkubwa kabisa duniani wa Amzon, huku wataalam wakionya kwamba msimu wa matukio kadhaa ya moto katika msitu huo mkubwa Zaidi duniani hayajafika kilele chake.

XS
SM
MD
LG