Kuna matumaini makubwa ya maafisa wa afya katika Jamhuri ya kidemokraisIa ya Congo – DRC, kukabiliana na mlipuko wa ugonjwa wa Ebola, kufuatia chanjo mpya.
Maafisa wanasema kiwango cha maambukizi na vifo kimepungua, tangu chanjo dhidi ya ebola ianze kutolewa.