Duniani Leo August, 13 2019
Shirika la Amnesty international, Japan, Uruguay na nchi nyingine, zimeonya kuwepo hatari ya watu kuingia Marekani, yakitaja kuwepo mashambulizi ya risasi. Aina mbili kati ya nne ya dawa ya majaribio inayotumika katika kutibu virusi vya Ebola katika Jamhuri ya kidemokrasia ya Congo zaponyesha Ebola
Matukio
-
Desemba 23, 2020
Malori ya Uingereza yazuiwa kuingia Ufaransa
-
Desemba 18, 2020
Kilichopatikana miaka 10 baada ya mapinduzi ya nchi za Kiarabu
-
Desemba 12, 2020
Wakimbizi waongezeka katika mji wa Pemba kaskazini mwa Msumbiji
-
Desemba 11, 2020
Rais Mteule wa Marekani Joe Biden amtangaza waziri wa ulinzi
Facebook Forum