Upatikanaji viungo

Breaking News
Ijumaa, Aprili 19, 2024 Local time: 13:56

Vijana walalamikia ajira Kenya


Vijana walalamikia ajira Kenya
please wait

No media source currently available

0:00 0:01:54 0:00

Siku moja baada ya ulimwengu kuadhimisha siku ya kimataifa ya Vijana chini ya kauli mbiu ya 'Kuifanyia elimu Mageuzi', baadhi ya vijana wa Kenya wanaona hakuna haja ya kuadhimisha siku vijana ikiwa waliosoma bado wanabaguliwa kupata ajira.

XS
SM
MD
LG