Duniani Leo July 19, 2019
Wanafamilia wa watu waliofariki katika ajali ya ndege ya shirika la ndege la Ethiopia Max 737 wamesikilizwa na bunge la Marekani. Baraza la mpito la kijeshi la Sudan limeanza kuondoa wanajeshi wake tangu jana katika maeneo waliyokuwepo kwenye mji mkuu wa Khartoum kwa takriban zaidi ya miezi mitatu
Matukio
-
Februari 06, 2023
Marekani: Rais Biden atatoa Hotuba ya Hali ya Kitaifa 2023
-
Januari 07, 2023
DRC: Waasi wa M23 wamekubali kuondoka Rumangabo
Facebook Forum