Maafisa wa usalama nchini Japan wanasema takriban watu 23 wamekufa katika mji wa Kyoto baada ya shambulizi la moto. Shirika la afya duniani – WHO – limeutangaza mlipuko wa ugonjwa wa Ebola Mashariki mwa Congo kama “dharura ya afya ya umma yenye kuleta wasiwasi wa kimataifa.