Upatikanaji viungo

Breaking News
Alhamisi, Aprili 25, 2024 Local time: 01:58

Wabunge wamshutumu Trump kwa kutoa maneno ya kibaguzi


Wabunge wamshutumu Trump kwa kutoa maneno ya kibaguzi
please wait

No media source currently available

0:00 0:01:31 0:00

Warepublican wanne waliungana na wademocrat katika baraza la wawakilishi kupitisha azimio linalopinga maneno ya kibaguzi yaliyotolewa na rais wa Marekani Donald Trump kuhusu wabunge wanne wa democratic.

XS
SM
MD
LG