Serikali ya Kenya inalenga kuongeza mgao wa fedha kwa shirika la UN HABITAT ili kufanikisha agenda za kuboresha, asilimia 34 ya Wakenya waishio mijini. Na rais Peter Mutharika amepata ushindi mdogo wa asilimia 38.57 ya kura zilizopigwa katika uchaguzi wa Malawi .