Vita vya biashara kati ya Marekani na China vinaelekea kuchukua hatua nyigine pamjoa na sakata la simu za Huawei wafanyabiashara wa viatu 170 wametoa wito kwa Rais Donald Trump kumtaka kuondoa ushuru wa bidhaa kwenye viatu kutokana na kuwekwa ushuru kwa bidhaa zinazotoka China.