Upatikanaji viungo

Breaking News
Ijumaa, Machi 29, 2024 Local time: 15:17

Kampuni ya madini ya Acacia North bado iko kimya


Kampuni ya madini ya Acacia North bado iko kimya
please wait

No media source currently available

0:00 0:02:53 0:00

Siku moja baada ya kupigwa kwa faini ya shilingi bilioni 5.6 kwa uchafuzi wa mazingira katika Mgodi wake uliopo kaskazini mwa Tanzania kampuni ya Uchimbaji Madini ya Acacia North Mara nchini Tanzania bado haijatoa tamko lolote kuhusu faini hiyo.

XS
SM
MD
LG