Upatikanaji viungo

Breaking News
Alhamisi, Aprili 25, 2024 Local time: 22:08

Viongozi wa kidini na kijamii wapinga marupurupu ya wabunge Kenya


Viongozi wa kidini na kijamii wapinga marupurupu ya wabunge Kenya
please wait

No media source currently available

0:00 0:01:26 0:00

Viongozi wa mashirika ya kijamii Mombasa , na viongozi wa kidini walalamikia nyongeza za marupurupu wanayopata wabunge na maseneta . Hussen Khalid mkurugenzi wa haki Afrika, Mwarua Nziwi afisa wa Human Rights Agenda, pamoja na Sheikh Juma Ngao walikuwa ni baadhi ya viongozi waliozungumza na VOA

XS
SM
MD
LG