Viongozi wa kidini na kijamii wapinga marupurupu ya wabunge Kenya
Viongozi wa mashirika ya kijamii Mombasa , na viongozi wa kidini walalamikia nyongeza za marupurupu wanayopata wabunge na maseneta . Hussen Khalid mkurugenzi wa haki Afrika, Mwarua Nziwi afisa wa Human Rights Agenda, pamoja na Sheikh Juma Ngao walikuwa ni baadhi ya viongozi waliozungumza na VOA
Matukio
-
Januari 16, 2021
Timu ya watafiti kutoka WHO ikiwasili Wuhan
-
Desemba 23, 2020
Malori ya Uingereza yazuiwa kuingia Ufaransa
-
Desemba 18, 2020
Kilichopatikana miaka 10 baada ya mapinduzi ya nchi za Kiarabu
-
Desemba 12, 2020
Wakimbizi waongezeka katika mji wa Pemba kaskazini mwa Msumbiji
Facebook Forum