Duniani Leo April 23, 2019
Watu watatu wamekufa baada ya mgodi wa machimbo ya Moram yalioko kaskazini mwa Tanzania kuporomoka. Ajali hiyo ilitokea alfajiri ya kuamkia jumanne, sababu ya maporomoko hayo bado haijatambuliwa. Kundi la wanamgambo la Islamic state limetai kuhusika na milipuko ya mabomu yaliotokea Sri Lanka
Matukio
-
Januari 21, 2021
Sherehe za kuapishwa Joseph Biden Rais wa 46 wa Marekani
-
Januari 16, 2021
Timu ya watafiti kutoka WHO ikiwasili Wuhan
-
Desemba 23, 2020
Malori ya Uingereza yazuiwa kuingia Ufaransa
-
Desemba 18, 2020
Kilichopatikana miaka 10 baada ya mapinduzi ya nchi za Kiarabu
Facebook Forum