Jengo la Notre Dame maafuru kwa watalii na waumini wa thehebu la kikatoliki liloko mji wa Paris Ufarasa limeungua moto. Wanaharakati waliomtoa madarakani rais wa Sudan Omar Al Bashir wanalitaka baraza la kijeshi livunjwe, huku waandamanaji wakiweka kambi nje ya makao mkuu ya jeshi.