Duniani Leo April 12, 2019
Baraza la kijeshi la Sudan limetangaza kuanza majadiliano na vyama vya kisiasa pamoja na waandamanaji waloweka kambi nje ya wizara ya ulizi na ikulu ya rais. Hatma ya madaktari raia wa Cuba waliotekwa nyara nchini Kenya na magaidi wa Al- Shabab , inasadikiwa wameshavushwa mpaka kuelekea Somalia