Upatikanaji viungo

Breaking News
Ijumaa, Machi 29, 2024 Local time: 16:49

Marekani imetoa wito kwa Nigeria kuhakikisha uchaguzi utafanyika kwa uhuru


Marekani imetoa wito kwa Nigeria kuhakikisha uchaguzi utafanyika kwa uhuru
please wait

No media source currently available

0:00 0:04:34 0:00

Marekani imetoa wito kwa pande zote nchini Nigeria ikiwemo jeshi kuhakikisha kwamba uchaguzi wa wiki hii unafanyika kwa uhuru na haki bila ya shinikizo wala vitisho kutoka nje.

XS
SM
MD
LG