Upatikanaji viungo

Breaking News
Alhamisi, Machi 28, 2024 Local time: 13:21

Tanzania yakemea utoaji wa sare za jeshi kwa wakimbizi wa Burundi


Tanzania yakemea utoaji wa sare za jeshi kwa wakimbizi wa Burundi
please wait

No media source currently available

0:00 0:02:18 0:00

Serikali ya Tanzania imewasimamisha kazi maafisa sita kwa kosa la kuwapa wakimbizi wa Burundi sare za kijeshi kwa kinyume cha sheria.

XS
SM
MD
LG