Duniani Leo November 28, 2018
Wakongo wapata matumaini ya kufanya uchaguzi wa rais nchini humo , baada ya kampeni kuanza rasmi. Wagombea wa vyama vyote vinavyoshiriki wameanza kujinadi.Baadhi ya wanachama wa vyama vya upinzani nchini Tanzania wemesema mswada mpya wa sheria ya vyama vya siasa una nia ya kuwakandamiza