Wajasiriamali Nigeria wanatafuta njia za nchi yao kuwa kituo cha utali
Nchini Nigeria, wajasiriamali wanatafuta njia za nchi yao kuwa kituo cha utali kama ilivyo nchi nyingine za afrika kama vile Kenya na Tanzania. Huwenda wapanda mlima hawa ni wanigeria lakini hawakujua kamwe kuna mahali kama hapa nchini mwao, eneo linalofahamika kama Ikogosi Warm Springs.
Matukio
-
Januari 21, 2021
Sherehe za kuapishwa Joseph Biden Rais wa 46 wa Marekani
-
Januari 16, 2021
Timu ya watafiti kutoka WHO ikiwasili Wuhan
-
Desemba 23, 2020
Malori ya Uingereza yazuiwa kuingia Ufaransa
-
Desemba 18, 2020
Kilichopatikana miaka 10 baada ya mapinduzi ya nchi za Kiarabu
Facebook Forum