Upatikanaji viungo

Breaking News
Alhamisi, Aprili 25, 2024 Local time: 13:32

Magari ya usafiri wa umma Kenya yametakiwa kuafikia sheria iliyowekwa


Magari ya usafiri wa umma Kenya yametakiwa kuafikia sheria iliyowekwa
please wait

No media source currently available

0:00 0:03:28 0:00

Kufikia jumatatu wiki ijayo magari ya usafiri wa umma nchini Kenya yametakiwa kuafikia sheria iliyowekwa. Ni kufuatia makataa hayo ndipo wamiliki wa magari wamejizatiti ilikuzuia magari yao kukamatwa na mamlaka ya usafiri na usalama barabarani nchini Kenya,(NTSA).

XS
SM
MD
LG