Duniani Leo October 31, 2018
Rais Donald Trump amezusha mjadala unaosababisha mjadala mkubwa kuhusu uwezo wake wa kubadili kifungu cha katiba kinachoruhusu watoto wanaozaliwa Marekani kupata uraia wa moja kwa moja hata kama wazazi wahamiaji wasizo na vibali. Uchaguzi mdogo wa katikati ya muhula kufanyika jumanne Novemba 6.
Matukio
-
Januari 21, 2021
Sherehe za kuapishwa Joseph Biden Rais wa 46 wa Marekani
-
Januari 16, 2021
Timu ya watafiti kutoka WHO ikiwasili Wuhan
-
Desemba 23, 2020
Malori ya Uingereza yazuiwa kuingia Ufaransa
-
Desemba 18, 2020
Kilichopatikana miaka 10 baada ya mapinduzi ya nchi za Kiarabu
Facebook Forum