Gavana wa Jimbo la Migori nchini Kenya, Okoth Obado ameachiliwa huru kwa dhamana baada ya kushikiliwa kwa muda kuhusiana na kesi ya mauwaji ya mwanafunzi wa chuo kikuu Sharon Otieno. na wakati hou huo Idara za mahakama za jumuia za Afrika Mashariki zakutana wakutana Kenya.