Upatikanaji viungo

Breaking News
Jumanne, Aprili 23, 2024 Local time: 18:18

Theresa May amesema ana imani kubwa kuwa makubaliano ya Brexit bado yanawezekana


Theresa May amesema ana imani kubwa kuwa makubaliano ya Brexit bado yanawezekana
please wait

No media source currently available

0:00 0:01:54 0:00

Waziri Mkuu wa Uingereza, Theresa May amesema ana imani kubwa kuwa makubaliano ya nchi kujitoa kwenye Umoja wa Ulaya – BREXIT – bado yanawezekana. Alisema hayo alipowasili Brussels kukutana na wenzake wa Ulaya, siku tatu baada ya mazungumzo kukwama jinsi ya kushughulikia suala na mpaka wa Ireland.

XS
SM
MD
LG