No media source currently available
Maafisa wa polisi nchini Tanzania wanaendelea kumtafuta bilionea maarufu Afrika kwa ujumla Mohamed Dewji aliyetekwa nyara na watu wasiojulikana, alhamisi alfajiri, jijini Dar-es-salaam akitoka katika kituo cha mazoezi kwenye hoteli moja mjini humo.