Upatikanaji viungo

Breaking News
Alhamisi, Aprili 18, 2024 Local time: 15:28

Wanafunzi nchini DRC wameiomba serikali kudumisha usalama


Wanafunzi nchini DRC wameiomba serikali kudumisha usalama
please wait

No media source currently available

0:00 0:00:58 0:00

Wanafunzi katika miji ya Butembo na Beni Mashariki mwa Jamhuri ya Kidemokrasi ya Congo wameiomba serikali kudumisha usalama ambao unaendelea kuzorota na kusababisha kati baadhi ya shule wanashindwa kuhudhuria masomo.

XS
SM
MD
LG