Duniani Leo September 27, 2018
Mkutano wa 73 wa umoja wa mataifa unaendelea katika jiji la New York Marekani. Viongozi mbalimbali wa Afrika ni miongoni mwa viongozi wa dunia ambao wanahutubia baraza hilo. Rais wa Tanzania John Pombe Magufuli afugua rasmi barabara ya juu katika makutano ya barabara ya Mandela na Nyerere.