Upatikanaji viungo

Breaking News
Jumamosi, Aprili 20, 2024 Local time: 12:41

Wasanii wa Kenya wamefanya tamasha maalum kuonyesha umoja na upendo kwa Bobi Wine


Wasanii wa Kenya wamefanya tamasha maalum kuonyesha umoja na upendo kwa Bobi Wine
please wait

No media source currently available

0:00 0:02:51 0:00

Hatua ya kuzuiliwa kwa kwa mbunge Robert kyangulanyi ambaye pia ni msanii maarufu nchini Uganda, akitumia jina Bobi Wine, ilimewagadhabisha watu wengi wakiwemo wakenya hasa wasanii waliotaja hatua ya serikali ya Uganda kama ukiukaji wa haki za kibinadam.

XS
SM
MD
LG