Nchini Tanzania wakili wa kujitegemea Jebra Kambole amefungua kesi dhidi ya mwanasheria Mkuu wa serikali akipinga sheria inayowapa mamlaka wakuu wa mikoa na wakuu wa wilaya kuwaweka watu ndani kwa saa 48 akidai sheria hiyo imepitwa na wakati na inakwenda kinyume na haki za binadamu.