Upatikanaji viungo

Breaking News
Ijumaa, Machi 29, 2024 Local time: 11:43

Serikali ya DRC yaanza kutoa chanjo kuzuia maambukizi ya Ebola

Serikali ya Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo (DRC) ikishirikiana na Shirika la Afya Duniani inaendelea na zoezi la kutoa chanjo ya kinga ya virusi vya Ebola.

Kwa mujibu wa Mwandishi wa idhaa ya Kiswahili VOA ambaye yuko katika mji mdogo wa Mangina nchini DRC anaripoti kuwa chanjo hiyo imeanza kutolewa rasmi Jumatano katika eneo hilo, lilioko kilomita 30 magharibi ya mji wa Beni. Beni ni mji ambao mlipuko wa Ebola ulitangazwa wiki iliyopita.


Imetayarishwa na Mwandishi wetu Austere Malivika, DRC

Pandisha zaidi

Makundi

XS
SM
MD
LG