Upatikanaji viungo

Breaking News
Alhamisi, Aprili 18, 2024 Local time: 22:23

Marekani yakana tuhuma za kuhusika katika mashambulizi la Rais wa Venezuela .


Marekani yakana tuhuma za kuhusika katika mashambulizi la Rais wa Venezuela .
please wait

No media source currently available

0:00 0:01:31 0:00

Mshauri wa Usalama wa taifa wa rais Donald Trump, amekana tuhuma ya kwamba Marekani ilihusika katika shambulizi lililo tekelezwa na ndege yenye vilipuzi isiyoruka na rubani, katika mji mkuu wa Venezuela wa Carcas, wakati Rais Nicholas Maduru alipokuwa ikihutubia taifa.

XS
SM
MD
LG