Upatikanaji viungo

Breaking News
Alhamisi, Aprili 25, 2024 Local time: 07:52

Sudani ya Kusini, imesaini mkataba wa amani katika mji mkuu wa Sudan Khartoum.


Sudani ya Kusini, imesaini mkataba wa amani katika mji mkuu wa Sudan Khartoum.
please wait

No media source currently available

0:00 0:01:46 0:00

Pande zinazopingana nchini Sudan Kusini zimesaini mkataba wa amani katika mji mkuu wa Sudan khartoum, ikiwa ni juhudi za kumaliza vita vya miaka mitano vimesababisha vifo vya maelefu, na mamilioni kuwa wakimbizi.

XS
SM
MD
LG