Upatikanaji viungo

Breaking News
Ijumaa, Aprili 19, 2024 Local time: 06:57

Polisi wa kupambana na ghasia wapelekwa makao makuu ya MDC.


Polisi wa kupambana na ghasia wapelekwa makao makuu ya MDC.
please wait

No media source currently available

0:00 0:01:21 0:00

Polisi wa kupambana na ghasia wamepelekwa makao makuu ya chama cha upinzani cha MDC nchini Zimbabwe, ambako wafuasi wa chama hicho wanakilaumu chama tawala cha ZANU PF kwa kujaribu kuiba kura dhidi ya mgombea wao Nelson Chamisa.

XS
SM
MD
LG