Upatikanaji viungo

Breaking News
Alhamisi, Machi 28, 2024 Local time: 14:51

Zoezi la uchaguzi mkuu linaloendelea maeneo mbalimbali Zimbabwe

Wananchi wa Zimbabwe wanapiga kura katika uchaguzi mkuu Julai 30, 2018 wakati uchumi wa nchi hiyo umekabiliwa na changamoto nyingi.

Wachambuzi wa kisiasa wanasema kuwa iwapo utakuwa ni uchaguzi wa haki na huru utaipelekea nchi hiyo kurejea katika uchumi imara baada ya kuporomoka na kudidimia uchumi huo katika kipindi cha utawala wa Rais wa zamani Robert Mugabe.

Pandisha zaidi

Makundi

XS
SM
MD
LG