Wachambuzi wa kisiasa wanasema kuwa iwapo utakuwa ni uchaguzi wa haki na huru utaipelekea nchi hiyo kurejea katika uchumi imara baada ya kuporomoka na kudidimia uchumi huo katika kipindi cha utawala wa Rais wa zamani Robert Mugabe.
Zoezi la uchaguzi mkuu linaloendelea maeneo mbalimbali Zimbabwe
Wananchi wa Zimbabwe wanapiga kura katika uchaguzi mkuu Julai 30, 2018 wakati uchumi wa nchi hiyo umekabiliwa na changamoto nyingi.
Makundi
- Afrika
- Marekani
- Afya
- Hali ya HIV/Ukimwi Afrika
- Uchaguzi Kenya 2013
- Kesi za Wakenya Mbele ya ICC
- Fainali za Kombe la Afrika 2015
- Ziara ya Rais Obama Kenya, Julai 23-26
- Tanzania Yaamua 2015
- Uchaguzi Marekani 2016
- Ziara ya Papa barani Afrika
- Uchaguzi Uganda 2016
- Mauaji Orlando
- YALI 2016
- Rio 2016
- AFCON 2017