Upatikanaji viungo

Breaking News
Jumamosi, Aprili 20, 2024 Local time: 08:02

Wasanii waliharibu kazi ya sanaa Tanzania -Monalisa


Wasanii waliharibu kazi ya sanaa Tanzania -Monalisa
please wait

No media source currently available

0:00 0:03:24 0:00

Mwigizaji maarufu Monalisa alisema kuwa wasanii ndio waliopelekea kuporomoka kwa soko la filamu Tanzania baada ya kuwachosha na kazi duni wapenzi wa sanaa ya filamu kwa kutengeneza filamu zisizo na ubora.

XS
SM
MD
LG