Upatikanaji viungo

Breaking News
Alhamisi, Machi 28, 2024 Local time: 13:01

Vijana waliookolewa Thailand waendelea vizuri na matibabu

Wanafunzi, viongozi wa dini ya Buddha walijitokeza kufanya maombi maalum kwa vijana 12 na kocha wao. Wanafunzi walifanya maombi katika shule ya Maesaiprasitsart ambapo vijana sita kati ya kumi na mbili wanasoma na wote wako katika furaha baada ya kuokolewa kwa wanafunzi wenzao.

Pia wanafamilia walijitokeza kwa wingi kuja kushuhudia na kusheherekea kuokolewa kwa vijana hao ambalo ni tukio la kihistoria.

Pandisha zaidi

Makundi

XS
SM
MD
LG