Upatikanaji viungo

Breaking News
Alhamisi, Aprili 25, 2024 Local time: 03:13

Mama Maria Nyerere ahudhuria maombi Siku ya Nyerere Uganda

Mama Maria Nyerere wa Tanzania akihudhuria Ijumaa Juni 1, 2018, maombi maalum kwa ajili ya Mwalimu Nyerere kabla ya maadhimisho ya Siku ya Mashahidi wa Uganda, akiwa na mwenyeji wake Rais Yoweri Museveni.

Hiyo ni hatua ya mchakato wa Kanisa Katoliki kumtangaza Nyerere kuwa Mtakatifu.

Makundi

XS
SM
MD
LG