Upatikanaji viungo

Breaking News
Alhamisi, Aprili 25, 2024 Local time: 11:23

Mkimbizi arudi Dadaab miaka miwili baada ya kuondoka


Mkimbizi arudi Dadaab miaka miwili baada ya kuondoka
please wait

No media source currently available

0:00 0:03:48 0:00

Wakimbizi wa kisomali walorudi nyumbani Mogadishu kutoka kambi ya Dadaab, Kenya, wameanza kurudi tena baada ya kukuta maisha si mazuri na hakuna usalama wa kutosha nyumbani.

XS
SM
MD
LG