No media source currently available
Mwanamama Mwanamvua Boga kutoka Kilifi Mombasa ndiye anayejaribu kubadilisha namna ambayo hospitali za uma nchini Kenya zinavyowasiliana na wagonjwa. Watu wengi hawapendi kuhudumiwa na hospitali za uma kwa sababu ya mawasiliano mabaya na wahudumu.