Upatikanaji viungo

Breaking News
Ijumaa, Aprili 19, 2024 Local time: 11:37

Al Shabab washambulia basi la UNICEF


Al Shabab washambulia basi la UNICEF
please wait

No media source currently available

0:00 0:01:14 0:00

Wanamgambo wa kundi la Kisomali la Al-Shabab limeshambulia basi lililokua linawasafirisha wafanyakazi wa UNICEF kaskazini ya Mogadishu na kusababisha vifo vya watu saba na saba kujeruhiwa.

XS
SM
MD
LG