South Africa Immigrant Attacks.
Chuki dhidi ya wahamiaji wa kiafrika zinazuka tena Afrika Kusini
Wahamiaji watano kutoka nchi za Afrika wamjeuliwa na wengine kadhaa kujeruhiwa tangu kuanza ghasia dhidi ya wageni huko Durban. Rais Jacob Zuma ametoa wito wa kusitishwa mara moja ghasia hizo.
Makundi
- Afrika
- Marekani
- Afya
- Hali ya HIV/Ukimwi Afrika
- Uchaguzi Kenya 2013
- Kesi za Wakenya Mbele ya ICC
- Fainali za Kombe la Afrika 2015
- Ziara ya Rais Obama Kenya, Julai 23-26
- Tanzania Yaamua 2015
- Uchaguzi Marekani 2016
- Ziara ya Papa barani Afrika
- Uchaguzi Uganda 2016
- Mauaji Orlando
- YALI 2016
- Rio 2016
- AFCON 2017