Upatikanaji viungo

Breaking News
Ijumaa, Machi 29, 2024 Local time: 16:48

Upinzani Rwanda wailaumu serikali kwa kifo cha Karegeya.


Jenerali Kayumba Nyamwasa aliye uhamishoni Afrika kusini.
Jenerali Kayumba Nyamwasa aliye uhamishoni Afrika kusini.
Viongozi wa vyama vya upinzani Rwanda wanamlaumu Rais Paul Kagame kwa kifo cha mkuu wa zamani wa upelelezi ambaye inaelekea amekabwa kwenye hoteli moja Afrika Kusini.

Wachunguzi wanasema mkuu huyo wa zamani wa usalama Patrick Karegeya alikutwa amekufa katika hoteli moja ya hali ya juu huko Johanesburg.

Akizungumza na Sauti ya Amerika mkuu wa zamani wa jeshi la Rwanda Jenerali Kayumba Nyamwasa amesema kwamba mtu aliyemwita hotelini hapo walikuwa wakifahamiana na alikuwa rafiki yake alipokuwa Rwanda na ni mtu aliyemwamini.
Kusikiliza mahojiano na Nyamwasa bofya hapa.
please wait

No media source currently available

0:00 0:06:38 0:00
Kiungo cha moja kwa moja
XS
SM
MD
LG