Uhuru Kenyatta amefika katika uwongozi wa Kenya baada ya kufanya kazi katika idara na wizara mbali mbali ya serikali ya Kenya kabla ya kuingia katika siasa mwanzoni mwa miaka 2000 .
Wasifu wa Uhuru Kenyatta katika picha
5
Uhuru Kenyatta katika kampeni ya uchaguzi kama mgombea kiti cha rais kwa niaba ya KANU Disemba 11 2011
6
Uhuru Kenyatta akiwapungua mkono wafuasi wake kwenye mkutano wa KANU ulomuidhinisha kuwa mgombea kiti wa chama 2002
7
Uhuru Kenyatta ahudhuria kikao cha kesi ya awali kwenye mahakama ya ICC The Hague
8
waziri wa fedha wa Kenya Uhuru Kenyatta akimpokea Mkurugenzi mtendaji wa IMF Dominique Strauss-Kahn (kulia) Machi 6 2010
Makundi
- Afrika
- Marekani
- Afya
- Hali ya HIV/Ukimwi Afrika
- Uchaguzi Kenya 2013
- Kesi za Wakenya Mbele ya ICC
- Fainali za Kombe la Afrika 2015
- Ziara ya Rais Obama Kenya, Julai 23-26
- Tanzania Yaamua 2015
- Uchaguzi Marekani 2016
- Ziara ya Papa barani Afrika
- Uchaguzi Uganda 2016
- Mauaji Orlando
- YALI 2016
- Rio 2016
- AFCON 2017