Serikali ilisema kwamba vifaa vya kupigia kura, ikiwa ni pamoja na karatasi ambazo zimeanza kusafirishwa hii leo kwelekea kwenye vituo vya kupigia kura katika maeneo mbali mbali ya nchi, vitapewa ulinzi mkali.
Raila Odinga akubali uamuzi wa mahakama amtakia Kenyatta uongozi mwema
Mwenkiti wa IEBC Kenya Isack Hassan amesema hakuna njia yeyote ile kuweza kufanya wizi wa kura kama inavyodaiwa na viongozi wa mungano wa CORD .
Kenya Election Live Blog