<?xml version="1.0" encoding="UTF-8"?>  <rss version="2.0" xmlns:atom="http://www.w3.org/2005/Atom"> <channel> <title>Marekani - Voice of America</title> <link>http://www.voaswahili.com/archive/marekani/latest/2772/2775.html</link> <description>Idhaa ya kiswahili ya&amp;nbsp; Sauti ya Amerika, tuna vipindi juu ya masuali mbali mbali, pamoja na habari na muziki.</description> <image> <url>http://www.voanews.com/img/voa/rssLogo_VOA.gif</url> <title>Marekani - Voice of America</title> <link>http://www.voaswahili.com/archive/marekani/latest/2772/2775.html</link> </image> <language>sw</language> <copyright>2012 - VOA</copyright> <ttl>60</ttl> <lastBuildDate>Sun, 19 May 2013 04:59:28 +0000</lastBuildDate>  <generator>Pangea CMS – VOA</generator> <atom:link href="http://www.voaswahili.com/rss/default.aspx?count=50&amp;zoneid=2775" rel="self" type="application/rss+xml" />  <item> <title>Korea Kaskazini yarusha makombora ya masafa mafupi</title> <description>Korea Kusini inasema Korea Kaskazini imefyatua makombora matatu ya masafa mafupi katika bahari ya East Sea ambayo pia hujulikana kama Sea of Japan.

 Wizara ya Ulinzi ya Korea Kusini inasema imegundua kurushwa kwa makombora mawili Jumamosi asubuhi, na jingine lilirushwa nyakati za mchana.

 Msemaji wa wizara hiyo, Kim Min-seok anasema azma ya Kaskazini haiko bayana. Anasema jeshi la Korea Kusini linafuatilia kwa karibu urushaji mwingine wowote na uwezekano wa uchokozi.

 Shirika la habari la ...</description> <link>http://www.voaswahili.com/content/korea-kaskazini-yarusha-makombora/1663647.html</link> <guid>http://www.voaswahili.com/content/korea-kaskazini-yarusha-makombora/1663647.html</guid> <pubDate>Sat, 18 May 2013 14:44:53 +0000</pubDate> <category>Habari</category>  <comments>http://www.voaswahili.com/content/korea-kaskazini-yarusha-makombora/1663647.html#relatedInfoContainer</comments> <enclosure url="http://gdb.voanews.com/B7C8D74E-3B4E-463D-83C4-896AB3573C2C_cx0_cy0_cw0_w800_r1.jpg?nocache=1" length="3123" type="image/jpeg"/> </item>  <item> <title>Marekani na Uturuki zataka Assad ang&#39;atuke </title> <description>Rais Obama alisema kuwa wote wanakubali kwamba Assad lazima aondoke. Na kwamba anapaswa  kukabidhi madaraka kwa  viongozi  wa serikali ya mpito.</description> <link>http://www.voaswahili.com/content/marekani-na-uturuki-zataka-assad-angatuke/1662766.html</link> <guid>http://www.voaswahili.com/content/marekani-na-uturuki-zataka-assad-angatuke/1662766.html</guid> <pubDate>Fri, 17 May 2013 02:43:02 +0000</pubDate> <category>Afrika</category>  <comments>http://www.voaswahili.com/content/marekani-na-uturuki-zataka-assad-angatuke/1662766.html#relatedInfoContainer</comments> <enclosure url="http://gdb.voanews.com/497CE847-C156-45D3-A08D-24B51CA2928C_cx0_cy0_cw0_w800_r1.jpg?nocache=1" length="3123" type="image/jpeg"/> </item>  <item> <title>Ariel Castro afikishwa mahakamani Ohio</title> <description>Kesi ya utekaji nyara wa wasichana watatu Marekani yashtua  wengi Marekani na nje ya Marekani.</description> <link>http://www.voaswahili.com/content/ariel-castro-afikishwa-mahakamani-ohio/1658238.html</link> <guid>http://www.voaswahili.com/content/ariel-castro-afikishwa-mahakamani-ohio/1658238.html</guid> <pubDate>Fri, 10 May 2013 02:31:32 +0000</pubDate> <category>Afrika</category>  <comments>http://www.voaswahili.com/content/ariel-castro-afikishwa-mahakamani-ohio/1658238.html#relatedInfoContainer</comments> <enclosure url="http://gdb.voanews.com/F24E6986-7984-4DC8-8DC3-312709E042B4_cx0_cy0_cw0_w800_r1.jpg?nocache=1" length="3123" type="image/jpeg"/> </item>  <item> <title>Mshukiwa wa mabomu ya Boston ahamishiwa  jela.</title> <description>Maafisa wa Marekani wanasema mshukiwa wa mabomu yaliyolipuliwa wakati wa Boston Marathon,&#160; Dzhokar Tsarnaev amehamishiwa kwenye kituo cha afya katika jela ya&#160; serikali kuu kutoka hospitali ambapo alikuwa akipata matibabu kwa majeraha aliyopata wakati alipokamatwa wiki iliyopita.

 Idara ya usalama ya Marekani ilisema Ijumaa kwamba Tsarnaev&#160; alihamishiwa kwenye kituo cha afya cha&#160; serikali kuu&#160; cha Devens kwenye eneo la&#160; kituo cha jeshi huko Fort&#160; Devens, ...</description> <link>http://www.voaswahili.com/content/article/1649374.html</link> <guid>http://www.voaswahili.com/content/article/1649374.html</guid> <pubDate>Fri, 26 Apr 2013 13:36:55 +0000</pubDate> <category>Marekani</category>  <comments>http://www.voaswahili.com/content/article/1649374.html#relatedInfoContainer</comments> <enclosure url="http://gdb.voanews.com/88BA8862-FC88-4415-BB40-3CB67AF2DDA7_cx0_cy0_cw0_w800_r1.jpg?nocache=1" length="3123" type="image/jpeg"/> </item>  <item> <title> Mshukiwa wa ulipuaji mabomu ya Boston anaswa</title> <description>Mshukiwa wa pili Dzhokhar Tsarnaev yuko hali mahtuti lakini chini ya ulinzi makali wa polisi katika hospitali moja ya Boston.</description> <link>http://www.voaswahili.com/content/mshukiwa-wa-ulipuaji-mabomu-ya-boston-anaswa/1645581.html</link> <guid>http://www.voaswahili.com/content/mshukiwa-wa-ulipuaji-mabomu-ya-boston-anaswa/1645581.html</guid> <pubDate>Sat, 20 Apr 2013 15:14:41 +0000</pubDate> <category>Afrika</category>  <comments>http://www.voaswahili.com/content/mshukiwa-wa-ulipuaji-mabomu-ya-boston-anaswa/1645581.html#relatedInfoContainer</comments> <enclosure url="http://gdb.voanews.com/1F12D9C6-5976-4024-A7A5-FF49DDBADE1F_cx0_cy0_cw0_w800_r1.jpg?nocache=1" length="3123" type="image/jpeg"/> </item>  <item> <title>Msako mkali Boston kwa mshukiwa ulipuaji mabomu.</title> <description>Polisi&#160; katika jimbo la&#160; Massachusetts wanaendelea na msako mkali&#160; wa mmoja wa washukiwa wa mabomu ya Jumatatu katika mji wa Boston baada ya kumuuwa mwingine katika majibizano ya risasi Alhamisi usiku. Vyombo vya habari Marekani vinaripoti kuwa washukiwa hao ni ndugu wenye asili ya Chechnya.

 Maafisa wanasema mshukiwa aliyekuwa amevaa kofia nyeupe&#160; kwenye milipuko ya kwenye mashindano ya riadha, ajulikanaye kama mshukiwa namba mbili hajulikani alipo na anaripotiwa kuwa ...</description> <link>http://www.voaswahili.com/content/article/1644883.html</link> <guid>http://www.voaswahili.com/content/article/1644883.html</guid> <pubDate>Fri, 19 Apr 2013 14:14:21 +0000</pubDate> <category>Marekani</category>  <comments>http://www.voaswahili.com/content/article/1644883.html#relatedInfoContainer</comments> <enclosure url="http://gdb.voanews.com/7FA98815-0227-4728-8D20-4C2277CFE216_cx0_cy0_cw0_w800_r1.jpg?nocache=1" length="3123" type="image/jpeg"/> </item>  </channel> </rss> 