<?xml version="1.0" encoding="UTF-8"?>  <rss version="2.0" xmlns:atom="http://www.w3.org/2005/Atom"> <channel> <title>Voice of America</title> <link>http://www.voaswahili.com</link> <description>Voice of America is an international news and broadcast organization serving Central and Eastern Europe, the Caucasus, Central Asia, Russia, the Middle East and Balkan countries</description> <image> <url>http://www.voanews.com/img/voa/rssLogo_VOA.gif</url> <title>Voice of America</title> <link>http://www.voaswahili.com</link> </image> <language>sw</language> <copyright>2012 - VOA</copyright> <ttl>60</ttl> <lastBuildDate>Thu, 23 May 2013 16:34:19 +0000</lastBuildDate>  <generator>Pangea CMS – VOA</generator> <atom:link href="http://www.voaswahili.com/rss/default.aspx?count=50" rel="self" type="application/rss+xml" />  <item> <title>Idadi ya wakimbizi yaongezeka duniani</title> <description>Amnesty International yataja DRC, Ivory Coast, Sudan na Sudan Kusini kuwa miongoni mwa nchi zinazokiuka haki za binadamu.</description> <link>http://www.voaswahili.com/content/idadi-ya-wakimbizi-yaongezeka-duniani/1666580.html</link> <guid>http://www.voaswahili.com/content/idadi-ya-wakimbizi-yaongezeka-duniani/1666580.html</guid> <pubDate>Thu, 23 May 2013 01:39:31 +0000</pubDate> <category>Afrika</category>  <comments>http://www.voaswahili.com/content/idadi-ya-wakimbizi-yaongezeka-duniani/1666580.html#relatedInfoContainer</comments> <enclosure url="http://gdb.voanews.com/2F894F16-C448-47F6-AD7B-C4E784B6D5FC_cx0_cy0_cw0_w800_r1.jpg?nocache=1" length="3123" type="image/jpeg"/> </item>  <item> <title>Mapigano zaidi mashariki mwa DRC</title> <description>Waasi wa M23 wamepambana na wanajeshi wa serikali mashariki mwa Jamhuri ya Kidemokrasi ya Congo-DRC siku moja kabla ya Katibu Mkuu wa Umoja wa Mataifa Ban Ki-Moon kuwasili katika eneo hilo.

 Mapigano ya Jumatano nje ya mji wa Goma yanakuwa siku ya tatu mfululizo ya mapambano kati ya jeshi la Congo na kundi la uasi la M23.

 Mashahidi wanasema mzunguko mmoja wa kombora ulitua katika eneo la Ndosho lililo jirani na Goma na kumuuwa mtu mmoja na kuwajeruhi watatu wengine. Hakuna taarifa kuwa ...</description> <link>http://www.voaswahili.com/content/mapigano-zaidi-mashariki-mwa-drc/1666041.html</link> <guid>http://www.voaswahili.com/content/mapigano-zaidi-mashariki-mwa-drc/1666041.html</guid> <pubDate>Wed, 22 May 2013 14:23:57 +0000</pubDate> <category>Habari</category>  <comments>http://www.voaswahili.com/content/mapigano-zaidi-mashariki-mwa-drc/1666041.html#relatedInfoContainer</comments>  </item>  <item> <title>Bandari ya Dar es Salaam  ni kichocheo cha uchumi – Benki ya Dunia	</title> <description>Tanzania na mataifa jirani ya Afrika Mashariki yanatajwa kuwa yanaweza kuboresha pato la ndani la mwaka – GDP – kama yatachukua hatua za kuboresha ubora wa bandari ya Dar es Salaam.
 Kwa mujibu wa ripoti mpya iliyopewa kichwa cha ‘Opening the Gates: How the port of Dar es Salaam can transform Tanzania’ iliyoandikwa na Jacques Morisset, mchumi mkuu wa Benki ya Dunia kwa Tanzania, Uganda na Burundi, Tanzania na majirani zake wanaweza kuongeza pato lao la ndani kwa kiwango kikubwa.
 Ripoti hiyo ...</description> <link>http://www.voaswahili.com/content/bandari-daressalaam-uchumi-ripoti/1665178.html</link> <guid>http://www.voaswahili.com/content/bandari-daressalaam-uchumi-ripoti/1665178.html</guid> <pubDate>Tue, 21 May 2013 13:34:14 +0000</pubDate> <category>Habari</category>  <comments>http://www.voaswahili.com/content/bandari-daressalaam-uchumi-ripoti/1665178.html#relatedInfoContainer</comments> <enclosure url="http://gdb.voanews.com/60BB84E2-D61F-4149-B8C0-CA21D5200393_cx0_cy0_cw0_w800_r1.jpg?nocache=1" length="3123" type="image/jpeg"/> </item>  <item> <title>Dharuba kali ya upepo yasababisha maafa Oklahoma</title> <description>Dharuba ya upepo yenye kasi za zaidi ya mili 200 kwa saa imesababisha vifo vya takriban watu 50 wakiwemo watoto 20 na uharibifu mkubwa wa mali.</description> <link>http://www.voaswahili.com/media/photogallery/1665159.html</link> <guid>http://www.voaswahili.com/media/photogallery/1665159.html</guid> <pubDate>Tue, 21 May 2013 10:56:00 +0000</pubDate> <category>Katika Picha</category>  <comments>http://www.voaswahili.com/media/photogallery/1665159.html#relatedInfoContainer</comments> <enclosure url="http://gdb.voanews.com/A8F5DCA9-6C7D-42D2-B6F8-653AA32C5A4A_cx0_cy0_cw0_w800_r1.jpg?nocache=1" length="3123" type="image/jpeg"/> </item>  <item> <title>Rais Obama kuzuru Afrika</title> <description>White House yasema Bw. Obama atakwenda Tanzania, Afrika Kusini na Senegal.</description> <link>http://www.voaswahili.com/content/rais-obama-kuzuru-afrika/1664981.html</link> <guid>http://www.voaswahili.com/content/rais-obama-kuzuru-afrika/1664981.html</guid> <pubDate>Tue, 21 May 2013 02:07:04 +0000</pubDate> <category>Afrika</category>  <comments>http://www.voaswahili.com/content/rais-obama-kuzuru-afrika/1664981.html#relatedInfoContainer</comments> <enclosure url="http://gdb.voanews.com/A79A033F-3523-454C-9EC6-0D36F5883567_cx0_cy0_cw0_w800_r1.jpg?nocache=1" length="3123" type="image/jpeg"/> </item>  <item> <title>Polisi wafunga magazeti mawili ya Uganda</title> <description>Polisi wa Uganda walivamia ofisi za gazeti la Daily Monitor mchana wa Jumatatu na kuwaeleza wakuu wa gazeti hilo kwamba eneo hilo limefungwa kwa uchunguzi wa uhalifu wakiwa wanatafuta barua.

 Akizungumza na Sauti ya Amerika mkurugenzi wa uhariri wa Daily Monitor Joseph Ddindo, anasema wameambiwa na maafisa wa polisi walovamia ofisi zao kwamba &quot;wanatafuta barua ambayo wanaamini maripoti wetu walikuwa nayo ambayo ndiyo msingi wa ripoti moja tulochapisha wiki iliyopita&quot;.

 Anasema barua ...</description> <link>http://www.voaswahili.com/content/polisi-wafunga-magazeti-mawili-ya-uganda/1664863.html</link> <guid>http://www.voaswahili.com/content/polisi-wafunga-magazeti-mawili-ya-uganda/1664863.html</guid> <pubDate>Mon, 20 May 2013 19:52:19 +0000</pubDate> <category>Afrika</category>   <enclosure url="http://gdb.voanews.com/3A0F9A83-2213-4881-8F0D-98ED74D39B2F_cx0_cy6_cw0_w800_r1.jpg?nocache=1" length="3123" type="image/jpeg"/> </item>  <item> <title>M23 wapigana na jeshi la DRC</title> <description>Mapigano mapya&#160; yamezuka huko mashariki mwa Jamhuri ya Kidemokrasi ya Congo kati ya jeshi&#160; la serikali na kundi la waasi wa M23,&#160; yakiwa ni mapambano ya kwanza kati ya pande hizo mbili&#160; baada ya takribani miezi sita.
&#160;
 Ripoti za awali zilisema pande hizo mbili zilipigana kwa saa kadhaa Jumatatu eneo la kaskazini mwa Goma.

 Kundi la M23 lilisema jeshi lilivamia kituo kimoja cha waasi. Hakukuwa na matamshi ya haraka juu ya idadi ya vifo.

 M23 iliuteka mji wa Goma mwezi ...</description> <link>http://www.voaswahili.com/content/m23-wapigana-na-jeshi-la-drc/1664392.html</link> <guid>http://www.voaswahili.com/content/m23-wapigana-na-jeshi-la-drc/1664392.html</guid> <pubDate>Mon, 20 May 2013 14:03:38 +0000</pubDate> <category>Habari</category>  <comments>http://www.voaswahili.com/content/m23-wapigana-na-jeshi-la-drc/1664392.html#relatedInfoContainer</comments> <enclosure url="http://gdb.voanews.com/08102041-CA5A-4E29-BEF1-2D093988122A_cx0_cy0_cw0_w800_r1.jpg?nocache=1" length="3123" type="image/jpeg"/> </item>  <item> <title>Jeshi la Nigeria lauwa wanachama wa Boko Haram</title> <description>Msako wa wanachama wa kundi la wanamgambo wa Nigeria Boko Haram wauwa 14 na kunasa wengine 85</description> <link>http://www.voaswahili.com/content/jeshi-la-nigeria-lauwa-wanachama-wa-boko-haram/1664191.html</link> <guid>http://www.voaswahili.com/content/jeshi-la-nigeria-lauwa-wanachama-wa-boko-haram/1664191.html</guid> <pubDate>Mon, 20 May 2013 01:36:38 +0000</pubDate> <category>Afrika</category>  <comments>http://www.voaswahili.com/content/jeshi-la-nigeria-lauwa-wanachama-wa-boko-haram/1664191.html#relatedInfoContainer</comments> <enclosure url="http://gdb.voanews.com/6D6A1B7C-C882-4396-92BB-C735455F3A5C_cx0_cy0_cw0_w800_r1.jpg?nocache=1" length="3123" type="image/jpeg"/> </item>  <item> <title>Korea Kaskazini yarusha makombora ya masafa mafupi</title> <description>Korea Kusini inasema Korea Kaskazini imefyatua makombora matatu ya masafa mafupi katika bahari ya East Sea ambayo pia hujulikana kama Sea of Japan.

 Wizara ya Ulinzi ya Korea Kusini inasema imegundua kurushwa kwa makombora mawili Jumamosi asubuhi, na jingine lilirushwa nyakati za mchana.

 Msemaji wa wizara hiyo, Kim Min-seok anasema azma ya Kaskazini haiko bayana. Anasema jeshi la Korea Kusini linafuatilia kwa karibu urushaji mwingine wowote na uwezekano wa uchokozi.

 Shirika la habari la ...</description> <link>http://www.voaswahili.com/content/korea-kaskazini-yarusha-makombora/1663647.html</link> <guid>http://www.voaswahili.com/content/korea-kaskazini-yarusha-makombora/1663647.html</guid> <pubDate>Sat, 18 May 2013 14:44:53 +0000</pubDate> <category>Habari</category>  <comments>http://www.voaswahili.com/content/korea-kaskazini-yarusha-makombora/1663647.html#relatedInfoContainer</comments> <enclosure url="http://gdb.voanews.com/B7C8D74E-3B4E-463D-83C4-896AB3573C2C_cx0_cy0_cw0_w800_r1.jpg?nocache=1" length="3123" type="image/jpeg"/> </item>  <item> <title>Mfumo mpya wa utawala Kenya unaanza kwa msukosuko</title> <description>Mwaziri 15 wa baraza jipya la serikali ya Kenya walianza rasmi kazi Alhamisi, baada ya kuapishwa na Rais Uhuru Kenyatta siku ya Jumatano. Bunge kwa wingi mkubwa liliidhinisha Jumanne majina ya mawaziri wote 16 waloteuliwa na Rais Kenyatta.

 Wachambuzi na Wakenya wengi wameeleza kuridhika na mawaziri waloteuliwa na kuwatakia kazi njema, wakti huo huo kusifu utaratibu mpya wa kuwachunguza kwanza bungeni kabla ya kuapishwa.

 Huku serikali mpya ikichukua madaraka, hali ya wasi wasi inaendelea ...</description> <link>http://www.voaswahili.com/content/utawala-kenya-unanaza-kwa-msukosuko/1663429.html</link> <guid>http://www.voaswahili.com/content/utawala-kenya-unanaza-kwa-msukosuko/1663429.html</guid> <pubDate>Fri, 17 May 2013 21:28:44 +0000</pubDate> <category>Afrika</category>  <comments>http://www.voaswahili.com/content/utawala-kenya-unanaza-kwa-msukosuko/1663429.html#relatedInfoContainer</comments> <enclosure url="http://gdb.voanews.com/32B2C22D-78B9-4B13-9319-6CB3994356F1_cx0_cy0_cw0_w800_r1.jpg?nocache=1" length="3123" type="image/jpeg"/> </item>  <item> <title>Katibu mkuu UN na Russia wazungumzia Syria.</title> <description>Katibu mkuu wa Umoja wa mataifa Ban Ki Moon yuko Russia ambako amesema ni muhimu kutopoteza&#160;kasi&#160;katika mazungumzo ya kuandaa mkutano wa amani juu ya Syria mwezi ujao.

 Bw.Ban aliwaambia waandishi wa habari maendeleo yaliyopatikana katika mazungumzo ya hivi karibuni kati ya waziri wa mambo ya nje wa Marekani John Kerry na mwenzake wa Russia Sergei Lavrov lazima yafanyiwe kazi,&#160;badala ya kuyaacha yapotee.

 Amesema timu ya Umoja wa mataifa iko tayari wakati wowote kuchunguza ...</description> <link>http://www.voaswahili.com/content/article/1663293.html</link> <guid>http://www.voaswahili.com/content/article/1663293.html</guid> <pubDate>Fri, 17 May 2013 18:47:31 +0000</pubDate> <category>Dunia</category>  <comments>http://www.voaswahili.com/content/article/1663293.html#relatedInfoContainer</comments> <enclosure url="http://gdb.voanews.com/E2BFB957-BBBE-447A-BE29-6AEC8058503C_cx0_cy0_cw0_w800_r1.jpg?nocache=1" length="3123" type="image/jpeg"/> </item>  <item> <title>Majeshi ya Nigeria yashambulia kambi za Boko Haram</title> <description>Majeshi ya Nigeria yamefanya mashambulizi ya anga dhidi ya makambi yaliyoshukiwa kuwa ya wanamgambo wa ki-Islam huko kaskazini-mashariki mwa nchi.

 Msemaji wa serikali ya Nigeria alisema makambi kadhaa yalilengwa na mashambulizi yaliwauwa idadi kadhaa ya waasi.

 Baadhi ya mashambulizi yalifanyika katika mbuga za wanyama za Sambisa katika jimbo la Borno, eneo linalojulikana la maficho ya kundi lenye msimamo mkali la Boko Haram.
&#160;
 Mashahidi waliripoti kuwepo kwa wanajeshi na ndege za ...</description> <link>http://www.voaswahili.com/content/majeshi-ya-nigeria-yashambulia-kambi-za-boko-haram/1662994.html</link> <guid>http://www.voaswahili.com/content/majeshi-ya-nigeria-yashambulia-kambi-za-boko-haram/1662994.html</guid> <pubDate>Fri, 17 May 2013 15:10:02 +0000</pubDate> <category>Habari</category>  <comments>http://www.voaswahili.com/content/majeshi-ya-nigeria-yashambulia-kambi-za-boko-haram/1662994.html#relatedInfoContainer</comments> <enclosure url="http://gdb.voanews.com/D6497633-E33B-4F33-83B1-1CFD002D48B2_cx0_cy0_cw0_w800_r1.jpg?nocache=1" length="3123" type="image/jpeg"/> </item>  <item> <title>Kandanda Wiki hii, Mei 10, 2013</title> <description></description> <link>http://www.voaswahili.com/media/photogallery/1664429.html</link> <guid>http://www.voaswahili.com/media/photogallery/1664429.html</guid> <pubDate>Fri, 17 May 2013 13:58:00 +0000</pubDate> <category>Katika Picha</category>  <comments>http://www.voaswahili.com/media/photogallery/1664429.html#relatedInfoContainer</comments> <enclosure url="http://gdb.voanews.com/BAFE1970-B02B-4AAD-BDAD-F5EFEE8D42C3_cx0_cy11_cw0_w800_r1.jpg?nocache=1" length="3123" type="image/jpeg"/> </item>  <item> <title>Marekani na Uturuki zataka Assad ang&#39;atuke </title> <description>Rais Obama alisema kuwa wote wanakubali kwamba Assad lazima aondoke. Na kwamba anapaswa  kukabidhi madaraka kwa  viongozi  wa serikali ya mpito.</description> <link>http://www.voaswahili.com/content/marekani-na-uturuki-zataka-assad-angatuke/1662766.html</link> <guid>http://www.voaswahili.com/content/marekani-na-uturuki-zataka-assad-angatuke/1662766.html</guid> <pubDate>Fri, 17 May 2013 02:43:02 +0000</pubDate> <category>Afrika</category>  <comments>http://www.voaswahili.com/content/marekani-na-uturuki-zataka-assad-angatuke/1662766.html#relatedInfoContainer</comments> <enclosure url="http://gdb.voanews.com/497CE847-C156-45D3-A08D-24B51CA2928C_cx0_cy0_cw0_w800_r1.jpg?nocache=1" length="3123" type="image/jpeg"/> </item>  <item> <title>Afrika kusini yapeleka wanajeshi Congo</title> <description>Mkuu wa jeshi nchini Afrika kusini alisema wanajeshi wa Afrika kusini ambao wanapatiwa mafunzo kwa ajili ya kazi za kijeshi za Umoja wa Mataifa nchini Congo watakuwa wamejiandaa vyema hata kama jeshi la Afrika kusini kwa jumla halina vifaa vya kutosha na fedha.

 Luteni Jenerali V.R Masondo pia aliviambia vyombo vya habari kwamba vikosi vya Afrika kusini vinapatiwa msaada&#160; wa mafunzo&#160; na wanajeshi ambao walishiriki katika&#160; tume ya ulinzi&#160; huko Jamhuri ya Afrika ya ...</description> <link>http://www.voaswahili.com/content/afrika-kusini-yapeleka-wanajeshi-congo/1662257.html</link> <guid>http://www.voaswahili.com/content/afrika-kusini-yapeleka-wanajeshi-congo/1662257.html</guid> <pubDate>Thu, 16 May 2013 14:48:55 +0000</pubDate> <category>Habari</category>  <comments>http://www.voaswahili.com/content/afrika-kusini-yapeleka-wanajeshi-congo/1662257.html#relatedInfoContainer</comments> <enclosure url="http://gdb.voanews.com/2AB36D85-461C-4E64-96B0-E50505C1A398_cx0_cy0_cw0_w800_r1.jpg?nocache=1" length="3123" type="image/jpeg"/> </item>  <item> <title>Mali yaahidiwa msaada wa zaidi ya dola bilioni 4</title> <description>Serikali ya Mali ilitumai kuwa wafadhili wa kimataifa watakuwa wakarimu kwa taifa hilo la Afrika magharibi, na hivyo ndivyo ilivyokuwa.</description> <link>http://www.voaswahili.com/content/mali-yaahidiwa-msaada-wa-zaidi-ya-dola-bilioni-4/1661984.html</link> <guid>http://www.voaswahili.com/content/mali-yaahidiwa-msaada-wa-zaidi-ya-dola-bilioni-4/1661984.html</guid> <pubDate>Thu, 16 May 2013 02:37:20 +0000</pubDate> <category>Afrika</category>  <comments>http://www.voaswahili.com/content/mali-yaahidiwa-msaada-wa-zaidi-ya-dola-bilioni-4/1661984.html#relatedInfoContainer</comments> <enclosure url="http://gdb.voanews.com/9635B71A-4D44-404D-AFE4-165224E96C38_cx0_cy0_cw0_w800_r1.jpg?nocache=1" length="3123" type="image/jpeg"/> </item>  <item> <title>Mwenyekiti wa baraza la katiba Tanzania kuipeleka tume mahakamani.</title> <description>Tume ya Mabadiliko ya Katiba nchini Tanzania imesema kuwa kutakuwepo na makundi mawili ambayo yatapewa fursa ya kuandaa mikutano kujadili rasimu ya katiba mpya.

 Maamuzi hayo ya tume ya mabadiliko ya katiba yalitolewa na Jaji mstaafu Joseph Warioba, alipozungumza na vyombo vya habari nchini humo hivi karibuni.

 Maamuzi hayo yamepokelewa kwa hisia tofauti na baadhi ya wadau wa mabadiliko hayo ya katiba.&#160;

 Sauti ya Amerika imezungumza na&#160; mwenyekiti wa jukwaa la katiba Bw.Deus ...</description> <link>http://www.voaswahili.com/content/article/1661799.html</link> <guid>http://www.voaswahili.com/content/article/1661799.html</guid> <pubDate>Wed, 15 May 2013 19:58:29 +0000</pubDate> <category>Afrika</category> <author>Sunday Shomari</author> <comments>http://www.voaswahili.com/content/article/1661799.html#relatedInfoContainer</comments> <enclosure url="http://gdb.voanews.com/6E9A0D9E-A438-43E9-B451-B89CE0889186_cx0_cy0_cw0_w800_r1.jpg?nocache=1" length="3123" type="image/jpeg"/> </item>  <item> <title>Nigeria yatangaza hali ya dharura Kaskazini</title> <description>Wanajeshi nchini Nigeria wameenezwa katika majimbo matatu ya kaskazini ambako Rais Goodluck Jonathan ametangaza hali ya dharura kujibu harakati za waasi wa ki-Islam.

 Magazeti nchini Nigeria yanaripoti kuwa kiasi cha wanajeshi 2,000 wakisaidiwa na ndege za kivita wamewasili katika jimbo la Borno huku mashahidi wakiripoti mtiririko wa wanajeshi katika majimbo jirani ya Yobe na Adamawa.

 Rais Jonathan alisema Jumanne kwamba waasi wameteka maeneo ya jimbo la Borno na aliagiza idara za usalama ...</description> <link>http://www.voaswahili.com/content/nigeria-yatangaza-hali-ya-dharura-kaskazini/1661399.html</link> <guid>http://www.voaswahili.com/content/nigeria-yatangaza-hali-ya-dharura-kaskazini/1661399.html</guid> <pubDate>Wed, 15 May 2013 14:17:21 +0000</pubDate> <category>Habari</category>  <comments>http://www.voaswahili.com/content/nigeria-yatangaza-hali-ya-dharura-kaskazini/1661399.html#relatedInfoContainer</comments> <enclosure url="http://gdb.voanews.com/1D309FE1-1F28-47CE-97BA-A4B4FFE83C5F_cx0_cy0_cw0_w800_r1.jpg?nocache=1" length="3123" type="image/jpeg"/> </item>  <item> <title>Rais wa Nigeria atangaza hali ya dharura</title> <description>Majimbo ya Borno, Yobe na Adamawa kaskazini mashariki mwa Nigeria yamo chini ya ulinzi mkali.</description> <link>http://www.voaswahili.com/content/rais-wa-nigeria-atangaza-hali-ya-dharura/1661209.html</link> <guid>http://www.voaswahili.com/content/rais-wa-nigeria-atangaza-hali-ya-dharura/1661209.html</guid> <pubDate>Wed, 15 May 2013 03:36:24 +0000</pubDate> <category>Afrika</category>  <comments>http://www.voaswahili.com/content/rais-wa-nigeria-atangaza-hali-ya-dharura/1661209.html#relatedInfoContainer</comments> <enclosure url="http://gdb.voanews.com/034EF075-1B2A-42B0-A875-F9D4414D0371_cx0_cy0_cw0_w800_r1.jpg?nocache=1" length="3123" type="image/jpeg"/> </item>  <item> <title>Wakenya wapinga ongezeko la mishahara kwa wabunge</title> <description>Polisi wa kupambana na ghasia nchini Kenya walifyatua gesi ya kutoa machozi na mabomba ya maji Jumanne ili kusambaratisha kiasi cha waandamanaji 200 waliokusanyika nje ya bunge wakiandamana dhidi ya madai ya mishahara ya wabunge.

 Wakati huo huo Rais wa Kenya, Uhuru Kenyatta alizungumzia suala hili na kusema kuwa wabunge wanastahili kusahau nyongeza hii ya mishahara. “saa nyingine unasikia uchungu badala ya kuwa sasa tunajiuliza how are we going to serve our people we are asking ourselves how ...</description> <link>http://www.voaswahili.com/content/wakenya-wapinga-ongezeko-la-mishahara-kwa-wabunge/1660671.html</link> <guid>http://www.voaswahili.com/content/wakenya-wapinga-ongezeko-la-mishahara-kwa-wabunge/1660671.html</guid> <pubDate>Tue, 14 May 2013 14:17:37 +0000</pubDate> <category>Habari</category>  <comments>http://www.voaswahili.com/content/wakenya-wapinga-ongezeko-la-mishahara-kwa-wabunge/1660671.html#relatedInfoContainer</comments>  </item>  <item> <title>Boko Haram laanza kuteka nyara wanawake na watoto</title> <description>Kundi lenye siasa kali la Boko Haram lasema limeanza kuteka nyara wanawake na watoto kupinga serikali ya Nigeria.</description> <link>http://www.voaswahili.com/content/boko-haram-laanza-kuteka-nyara--wanawake-na-watoto/1660450.html</link> <guid>http://www.voaswahili.com/content/boko-haram-laanza-kuteka-nyara--wanawake-na-watoto/1660450.html</guid> <pubDate>Tue, 14 May 2013 02:19:36 +0000</pubDate> <category>Afrika</category>  <comments>http://www.voaswahili.com/content/boko-haram-laanza-kuteka-nyara--wanawake-na-watoto/1660450.html#relatedInfoContainer</comments> <enclosure url="http://gdb.voanews.com/40CA532F-2B30-4AAD-BFF7-55978971EAEB_cx0_cy0_cw0_w800_r1.jpg?nocache=1" length="3123" type="image/jpeg"/> </item>  <item> <title>Nawaz Sharrif anaongoza katika uchaguzi wa Pakistan.</title> <description>Matokeo ya awali yasiyo rasmi katika uchaguzi wa kihistoria wa bunge nchini Pakistan yanaonesha mwanasiasa mkongwe na waziri mkuu mara mbili Nawaz Sharif atapata ushindi na kuiongoza tena nchi hiyo.

 Wapakistani wanamatumiani makubwa kwamba serikali mpya itaweza kutanzua matatizo mengi ya kiuchumi na usalama ya nchi hiyo&#160;

 Mwenyekiti wa tume ya uchaguzi anasema licha ya vitisho wapigaji kura wamejitokeza kwa wingi ikiwa ni ishara kwamba wananchi wanataka mabadiliko na kutaka sauti zao ...</description> <link>http://www.voaswahili.com/content/article/1659900.html</link> <guid>http://www.voaswahili.com/content/article/1659900.html</guid> <pubDate>Mon, 13 May 2013 13:32:27 +0000</pubDate> <category>Afrika</category>  <comments>http://www.voaswahili.com/content/article/1659900.html#relatedInfoContainer</comments> <enclosure url="http://gdb.voanews.com/ABC1CD77-CC1D-4116-B4DC-D49E213E17BE_cx0_cy0_cw0_w800_r1.jpg?nocache=1" length="3123" type="image/jpeg"/> </item>  <item> <title>Kenya yajikuta katikati ya mvutano wa mkutano wa Kismayo</title> <description>Mkutano unaoendelea katika juhudi za kuunda serikali ya majimbo ya Jubba huko kusini mwa Somalia unagubikwa na ugomvi kati ya viongozi wa koo mbali mbali wa majimbo hayo na maafisa wa IGAD.

 Mbunge wa zamani wa bunge la Somalia Omar Burale ameiambia Sauti ya Amerika Jumapili kwamba wajumbe kutoka zaidi ya koo 10 wameondoka kutoka mkutano wakidai ukosefu wa utaratibu wa haki katika kuchagua wajumbe watakaomchagua rais mpya wa jimbo hilo.

 Akizungumza kutoka Kismayo Bw. Burale anasema “wajumbe ...</description> <link>http://www.voaswahili.com/content/kenya-iko-katikati-ya-mvutano-wa-mkutano-wa-kismayo/1659664.html</link> <guid>http://www.voaswahili.com/content/kenya-iko-katikati-ya-mvutano-wa-mkutano-wa-kismayo/1659664.html</guid> <pubDate>Sun, 12 May 2013 18:54:54 +0000</pubDate> <category>Afrika</category>  <comments>http://www.voaswahili.com/content/kenya-iko-katikati-ya-mvutano-wa-mkutano-wa-kismayo/1659664.html#relatedInfoContainer</comments> <enclosure url="http://gdb.voanews.com/18D5E55A-97D5-443D-89E4-6FDAB2D221EB_cx0_cy9_cw0_w800_r1.jpg?nocache=1" length="3123" type="image/jpeg"/> </item>  <item> <title>Kandanda Wiki hii, Mei 10, 2013</title> <description>Alex Ferguson meneja wa Manchester United astahafu </description> <link>http://www.voaswahili.com/media/photogallery/1658899.html</link> <guid>http://www.voaswahili.com/media/photogallery/1658899.html</guid> <pubDate>Fri, 10 May 2013 19:54:00 +0000</pubDate> <category>Katika Picha</category>  <comments>http://www.voaswahili.com/media/photogallery/1658899.html#relatedInfoContainer</comments> <enclosure url="http://gdb.voanews.com/C3184FF2-F262-407D-A69B-5A662368A460_cx0_cy3_cw0_w800_r1.jpg?nocache=1" length="3123" type="image/jpeg"/> </item>  <item> <title>Ariel Castro afikishwa mahakamani Ohio</title> <description>Kesi ya utekaji nyara wa wasichana watatu Marekani yashtua  wengi Marekani na nje ya Marekani.</description> <link>http://www.voaswahili.com/content/ariel-castro-afikishwa-mahakamani-ohio/1658238.html</link> <guid>http://www.voaswahili.com/content/ariel-castro-afikishwa-mahakamani-ohio/1658238.html</guid> <pubDate>Fri, 10 May 2013 02:31:32 +0000</pubDate> <category>Afrika</category>  <comments>http://www.voaswahili.com/content/ariel-castro-afikishwa-mahakamani-ohio/1658238.html#relatedInfoContainer</comments> <enclosure url="http://gdb.voanews.com/F24E6986-7984-4DC8-8DC3-312709E042B4_cx0_cy0_cw0_w800_r1.jpg?nocache=1" length="3123" type="image/jpeg"/> </item>  <item> <title>Jenerali wa Uganda amshutumu Museveni kutaka kumwachia  madaraka mwanae.                          </title> <description>Jenerali mmoja wa jeshi anamshutumu rais Yoweri Museveni&#160; wa Uganda kwa kujaribu kuhakikisha mwanae anarithi madaraka kama kiongozi wa nchi hiyo, akiwa ni kiongozi wa kwanza wa juu kuelezea&#160; wasi wasi wake juu ya mpango wa mrithi wa madaraka wa rais Museveni baada kuwepo madarakani kwa&#160; karibu miongo mitatu.

 Kwa mujibu wa shirika la habari la AP , David Sejusa mmoja wa majenerali 6 wa Uganda alisema katika barua yake ya hivi karibuni kwa mkuu wa usalama wa taifa kwamba anataka ...</description> <link>http://www.voaswahili.com/content/article/1657634.html</link> <guid>http://www.voaswahili.com/content/article/1657634.html</guid> <pubDate>Thu, 09 May 2013 13:18:15 +0000</pubDate> <category>Afrika</category>  <comments>http://www.voaswahili.com/content/article/1657634.html#relatedInfoContainer</comments> <enclosure url="http://gdb.voanews.com/677AE6D5-D7F0-4CCE-9CED-01A157777175_cx0_cy0_cw0_w800_r1.jpg?nocache=1" length="3123" type="image/jpeg"/> </item>  <item> <title>Watu tisa wakamatwa kuhusiana na mlipuko wa bomu Arusha</title> <description>Maafisa wa serikali ya Tanzania wanasema wamewakamata washukiwa tisa kwa shutuma za mlipuko wa bomu uliotokea kwenye kanisa moja mjini Arusha siku ya Jumapili.

 Sauti ya Amerika-VOA ilizungumza kwa njia ya simu na mkuu wa mkoa wa Arusha bwana Magesa Mulongo juu ya watu waliokamatwa ambapo alisema raia hao wa kigeni walikamatwa wakijaribu kuvuka mpaka kuingia nchini Kenya.


 Maafisa nchini humo wanasema raia watatu wanatoka&#160; umoja wa falme za kiarabu-UAE na sio Saudi Arabia kama ...</description> <link>http://www.voaswahili.com/content/watu-tisa-wakamatwa-kuhusiana-na-mlipuko-wa-bomu-arusha/1657284.html</link> <guid>http://www.voaswahili.com/content/watu-tisa-wakamatwa-kuhusiana-na-mlipuko-wa-bomu-arusha/1657284.html</guid> <pubDate>Wed, 08 May 2013 19:49:28 +0000</pubDate> <category>Habari</category>  <comments>http://www.voaswahili.com/content/watu-tisa-wakamatwa-kuhusiana-na-mlipuko-wa-bomu-arusha/1657284.html#relatedInfoContainer</comments> <enclosure url="http://gdb.voanews.com/662BE45A-83AD-4A08-A6A0-814EFADC6439_cx0_cy0_cw0_w800_r1.jpg?nocache=1" length="3123" type="image/jpeg"/> </item>  <item> <title>Bunge la Tanzania lapitisha azimio dhidi ya shambulizi la Arusha.</title> <description>Kufuatia kutokea kwa shambulio la bomu jijini Arusha, Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania limepitisha Azimio la kuitaka serikali ya nchi hiyo kuchukua hatua mara moja dhidi ya viashiria vya aina zote vya uvunjifu wa amani unaojitokeza nchini humo.

 Akitoa azimio la bunge la kulaani tukio la kulipuliwa kwa bomu katika Kanisa Katoliki la Mtakatifu Joseph Mfanyakazi Parokia ya Olasiti jijini Arusha, Mwenyekiti wa Kamati ya Bunge ya Ulinzi na Usalama, Bibi Anna Abdallah, alisema serikali ...</description> <link>http://www.voaswahili.com/content/article/1656900.html</link> <guid>http://www.voaswahili.com/content/article/1656900.html</guid> <pubDate>Wed, 08 May 2013 14:40:15 +0000</pubDate> <category>Afrika</category>  <comments>http://www.voaswahili.com/content/article/1656900.html#relatedInfoContainer</comments> <enclosure url="http://gdb.voanews.com/A48CFF38-06EC-4219-B711-37821DA45A9F_cx0_cy0_cw0_w800_r1.jpg?nocache=1" length="3123" type="image/jpeg"/> </item>  <item> <title>Wafadhili waahidi msaada kwa Somalia</title> <description>Wafadhili wa kimataifa wameahidi kutowa msaada wa dola milioni 300 ili kuisaidia Somalia baada ya kuitikia wito wa kusaidia nchi hiyo kuimarisha vyombo vyake vya usalama, mahakama na fedha.

 Katika mkutano wa viongozi mjini London siku ya Jumanne, ulotayarishwa kwa pamoja na Rais Hassan Sheikh Mohamed na Waziri Mkuu wa uingereza David Cameroon wajumbe walihimizwa kusaidia kuimarisha uwezo wa serikali ya Mogadishu.

 Akizungumza na Sauti ya Amerika baada ya mkutano, mjumbe maalum wa Umoja wa ...</description> <link>http://www.voaswahili.com/content/wafadhili-waahidi-msaada-kwa-somalia/1656921.html</link> <guid>http://www.voaswahili.com/content/wafadhili-waahidi-msaada-kwa-somalia/1656921.html</guid> <pubDate>Wed, 08 May 2013 14:28:12 +0000</pubDate> <category>Afrika</category>  <comments>http://www.voaswahili.com/content/wafadhili-waahidi-msaada-kwa-somalia/1656921.html#relatedInfoContainer</comments> <enclosure url="http://gdb.voanews.com/89DEEB15-9559-4F6D-82C1-53212DA97536_cx0_cy0_cw0_w800_r1.jpg?nocache=1" length="3123" type="image/jpeg"/> </item>  <item> <title>Mafuriko Uganda yawakosesha makazi watu 7,000</title> <description>Mvua kubwa inaonyesha katika maeneo ya kusini- magharibi mwa Uganda inasababisha mafuriko makubwa kwenye maeneo ya mlima&#160; Ruwenzori na kusababisha kufurika kwa mto&#160; Nyamwamba na kupelekea miji na vijiji ya&#160; wilaya ya Kasese kuzama kwa maji.


 Akizungumza na Sauti ya Amerika, Waziri wa masuala ya majanga nchini Uganda, Musa Echweru alisema kuwa kiasi cha watu 7,000 wamekoseshwa makazi kufuatia mafuriko hayo na pia kuna idadi ya vifo vya watu sita wakiwemo watoto.

 Waziri Echweru ...</description> <link>http://www.voaswahili.com/content/mafuriko-uganda-yawakosesha-makazi-watu-7000/1656165.html</link> <guid>http://www.voaswahili.com/content/mafuriko-uganda-yawakosesha-makazi-watu-7000/1656165.html</guid> <pubDate>Tue, 07 May 2013 14:22:38 +0000</pubDate> <category>Habari</category>  <comments>http://www.voaswahili.com/content/mafuriko-uganda-yawakosesha-makazi-watu-7000/1656165.html#relatedInfoContainer</comments> <enclosure url="http://gdb.voanews.com/31A3ABC5-8720-47CA-B4BA-25D6FA3661DB_cx0_cy0_cw0_w800_r1.jpg?nocache=1" length="3123" type="image/jpeg"/> </item>  <item> <title>Mkutano wa London juu ya Somalia.</title> <description>Zaidi ya viongozi 50 wamehudhuia mkutano wa London juu ya kuisaidia serikali ya Somalia kuimarisha mfumo wake wa usalama na mahakama.</description> <link>http://www.voaswahili.com/media/photogallery/1657038.html</link> <guid>http://www.voaswahili.com/media/photogallery/1657038.html</guid> <pubDate>Tue, 07 May 2013 12:17:00 +0000</pubDate> <category>Katika Picha</category>  <comments>http://www.voaswahili.com/media/photogallery/1657038.html#relatedInfoContainer</comments> <enclosure url="http://gdb.voanews.com/89DEEB15-9559-4F6D-82C1-53212DA97536_cx0_cy0_cw0_w800_r1.jpg?nocache=1" length="3123" type="image/jpeg"/> </item>  <item> <title>Watu 10 wakamatwa kuhusika na shambulio la Arusha</title> <description>Serikali ya Tanzania imetoa taarifa ya awali juu ya shambulizi la bomu katika kanisa katoliki la Mt.Joseph parokia ya Olacity mjini Arusha.

 Akitoa kauli hiyo ya serikali&#160; bungeni Dodoma Jumatatu waziri wa mambo ya ndani wa Tanzania Dr.Emmanuel Nchimbi aliwasihi wananchi kuwa watulivu wakati serikali ikiwasaka wale waliofanya shambulio hilo.

 Maafisa nchini Tanzania wamewakamata watu 10&#160;ikiwa ni pamoja na raia wanne wa Saudia Arabia .

 Shambulizi hilo lilitokea wakati&#160; kanisa ...</description> <link>http://www.voaswahili.com/content/watu-10-wakamatwa-kuhusika-na-shambulio-la-arusha/1655767.html</link> <guid>http://www.voaswahili.com/content/watu-10-wakamatwa-kuhusika-na-shambulio-la-arusha/1655767.html</guid> <pubDate>Mon, 06 May 2013 20:57:35 +0000</pubDate> <category>Afrika</category>  <comments>http://www.voaswahili.com/content/watu-10-wakamatwa-kuhusika-na-shambulio-la-arusha/1655767.html#relatedInfoContainer</comments>  </item>  <item> <title>Shambulizi  la bomu lauwa wanane Mogadishu</title> <description>Maafisa wa Somalia wanakutana London kwa kongamano kuu Jumanne linaloleta pamoja washirika wa kimataifa kusaidia katika ujenzi mpya wa Somalia.</description> <link>http://www.voaswahili.com/content/shambulizi-la-bomu-lauwa-wanane-mogadishu/1655101.html</link> <guid>http://www.voaswahili.com/content/shambulizi-la-bomu-lauwa-wanane-mogadishu/1655101.html</guid> <pubDate>Mon, 06 May 2013 00:41:07 +0000</pubDate> <category>Afrika</category>  <comments>http://www.voaswahili.com/content/shambulizi-la-bomu-lauwa-wanane-mogadishu/1655101.html#relatedInfoContainer</comments> <enclosure url="http://gdb.voanews.com/E6EB2F4C-ED66-40F6-8A06-3B7B4EA93663_cx0_cy0_cw0_w800_r1.jpg?nocache=1" length="3123" type="image/jpeg"/> </item>  <item> <title>Umoja wa Mataifa unatoa wito wa kuhakikisha usalama kwa waandishi habari</title> <description>Umoja wa mataifa ulitowa wito wa kuchukuliwa hatua ili kuhakikisha usalama wa waandishi wa habari katika kila nchi, siku ya Ijuma katika kuadhimisha siku ya Uhuru wa Vyombo vya Habrai Dunia. Wito huo ulitolewa na katibu mkuu wa Umoja wa mataifa, Ban Ki-Moon aliyetangaza kuwa “inapokuwa salama kuzungumza, dunia nzima inafaidika”.

 “Kila siku uhuru wa kuzungumza unakabiliwa na vitisho vipya. Kwa sababu wanasaidia kuhakikisha uwazi na uwajibikaji katika masuala ya umma, waandishi wa habari mara ...</description> <link>http://www.voaswahili.com/content/umoja-wa-mataifa-unatoa-wito-wa-kuhakikisha-usalama-kwa-waandishi-habari/1654024.html</link> <guid>http://www.voaswahili.com/content/umoja-wa-mataifa-unatoa-wito-wa-kuhakikisha-usalama-kwa-waandishi-habari/1654024.html</guid> <pubDate>Fri, 03 May 2013 15:59:36 +0000</pubDate> <category>Habari</category>  <comments>http://www.voaswahili.com/content/umoja-wa-mataifa-unatoa-wito-wa-kuhakikisha-usalama-kwa-waandishi-habari/1654024.html#relatedInfoContainer</comments> <enclosure url="http://gdb.voanews.com/4A6CB8AE-E3B4-469E-8775-35273A087E84_cx0_cy0_cw0_w800_r1.jpg?nocache=1" length="3123" type="image/jpeg"/> </item>  <item> <title>Kandanda Wiki hii, Mei 03, 2013</title> <description>Michuano ya nusu finali ya kombe la vilabu bingwa Ulaya.</description> <link>http://www.voaswahili.com/media/photogallery/1653895.html</link> <guid>http://www.voaswahili.com/media/photogallery/1653895.html</guid> <pubDate>Fri, 03 May 2013 14:45:00 +0000</pubDate> <category>Katika Picha</category>  <comments>http://www.voaswahili.com/media/photogallery/1653895.html#relatedInfoContainer</comments> <enclosure url="http://gdb.voanews.com/C2E96F71-2007-4777-A94A-899789E5B379_cx0_cy3_cw0_w800_r1.jpg?nocache=1" length="3123" type="image/jpeg"/> </item>  <item> <title>Jamii ya Kimataifa yalaumiwa kwa maafa Somalia</title> <description>Wasomali 260,000 walipoteza maisha kutokana na njaa mwaka wa 2010-2012.Vifo ambavyo vingezuilika  kwa msaada wa dharura wa jamii ya kimataifa</description> <link>http://www.voaswahili.com/content/jamii-ya-kimataifa-yalaumiwa-kwa-maafa-somalia/1653630.html</link> <guid>http://www.voaswahili.com/content/jamii-ya-kimataifa-yalaumiwa-kwa-maafa-somalia/1653630.html</guid> <pubDate>Fri, 03 May 2013 00:59:41 +0000</pubDate> <category>Afrika</category>  <comments>http://www.voaswahili.com/content/jamii-ya-kimataifa-yalaumiwa-kwa-maafa-somalia/1653630.html#relatedInfoContainer</comments> <enclosure url="http://gdb.voanews.com/F7A470BC-B7B9-4BFF-A661-5EF34FA0B190_cx0_cy0_cw0_w800_r1.jpg?nocache=1" length="3123" type="image/jpeg"/> </item>  <item> <title>Mahakama ya Kenya yawakuta na hatia Wairan wawili</title> <description>Mahakama moja nchini Kenya imewakuta na hatia raia wawili wa Iran kwa kupanga kushambulia kiwa bomu vituo vya nchi za magharibi na Israel nchini Kenya.

 Jaji&#160; Kaire Waweru alisema alhamis upande wa&#160; mashtaka umethibitisha bila ya mashaka tuhuma zote dhidi ya washtakiwa&#160; hao wawili.

 Ahmad Abolfathi Mohammad na Sayed Mansour Mousavi walishtakiwa kwa kujiandaa kufanya uhalifu wenye nia ya uharibifu mkubwa&#160; baada ya kukamatwa Juni mwaka 2012 na kukutwa na maafisa wa usalama ...</description> <link>http://www.voaswahili.com/content/mahakama-ya-kenya-yawakuta-na-hatia-wairan-wawili/1653099.html</link> <guid>http://www.voaswahili.com/content/mahakama-ya-kenya-yawakuta-na-hatia-wairan-wawili/1653099.html</guid> <pubDate>Thu, 02 May 2013 13:41:07 +0000</pubDate> <category>Habari</category>  <comments>http://www.voaswahili.com/content/mahakama-ya-kenya-yawakuta-na-hatia-wairan-wawili/1653099.html#relatedInfoContainer</comments> <enclosure url="http://gdb.voanews.com/EADF5446-2B9B-4020-934A-BEEA04097DC2_cx0_cy0_cw0_w800_r1.jpg?nocache=1" length="3123" type="image/jpeg"/> </item>  <item> <title>Wafanyakazi Duniani waadhimisha Mayday.</title> <description>Wafanyakazi duniani kote wanaandamana mitaani Jumatano kuadhimisha siku ya kimataifa ya wafanyakazi duniani ijulikanayo kama Mayday huku wito ukitolewa kwa nyongeza ya mishahara na mazingira bora ya kazi.

 Mgomo wa chama cha wafanyakazi Ugiriki siku ya may day umesababisha kadhia ya safari za feri kwenye kisiwa hicho na usafiri wa umma huko Athens ambapo waandamanaji wanaamdamana dhidi ya hatua zilizoongezwa muda za kubana matumizi kiuchumi.

 Rais Uhuru Kenyatta wa Kenya ameahidi kuongeza ...</description> <link>http://www.voaswahili.com/content/article/1652452.html</link> <guid>http://www.voaswahili.com/content/article/1652452.html</guid> <pubDate>Wed, 01 May 2013 15:08:41 +0000</pubDate> <category>Dunia</category>  <comments>http://www.voaswahili.com/content/article/1652452.html#relatedInfoContainer</comments>  </item>  <item> <title>Sherehe za Siku ya Wafanyakazi Duniani - May Day</title> <description>Wafnayakzi kote duniani isipokua Marekani wameshiriki katika sherehe mbali mbali za Siku ya Kimataifa ya Wafanayakzi, wakidai nyongeZa za mishahara na mazingira bora ya kazi.  . </description> <link>http://www.voaswahili.com/media/photogallery/1652559.html</link> <guid>http://www.voaswahili.com/media/photogallery/1652559.html</guid> <pubDate>Wed, 01 May 2013 12:09:00 +0000</pubDate> <category>Katika Picha</category>   <enclosure url="http://gdb.voanews.com/BC37D2BF-7FEE-4B4B-BB59-A996CD94093D_cx0_cy0_cw0_w800_r1.jpg?nocache=1" length="3123" type="image/jpeg"/> </item>  <item> <title>Somalia yapanga kuimarisha jeshi la kitaifa</title> <description>Waziri wa ulinzi Abdihakim Haji Mohamud Fiqi asema jeshi  thabiti la kitaifa litakalowakilisha kanda zote za nchi ni kipaumbele cha wizara yake.</description> <link>http://www.voaswahili.com/content/somalia-yapanga-kuimarisha-jeshi-la-kitaifa/1652174.html</link> <guid>http://www.voaswahili.com/content/somalia-yapanga-kuimarisha-jeshi-la-kitaifa/1652174.html</guid> <pubDate>Wed, 01 May 2013 02:21:18 +0000</pubDate> <category>Afrika</category>  <comments>http://www.voaswahili.com/content/somalia-yapanga-kuimarisha-jeshi-la-kitaifa/1652174.html#relatedInfoContainer</comments> <enclosure url="http://gdb.voanews.com/A5B9E1A0-2F52-496F-8CC9-DA33F1CDBE54_cx0_cy0_cw0_w800_r1.jpg?nocache=1" length="3123" type="image/jpeg"/> </item>  <item> <title>Afrika Kusini imeshtushwa na uwamuzi wa Uingereza kusitisha msaada</title> <description>Tangazo la Uingereza lililotolewa siku ya Jumanne&#160; kwamba itasitisha misaada yake yote ya moja kwa moja kwa Afrika Kusini kuanzia 2015, limezusha malalamiko na mshangao mjini Pretoria.

 Waziri wa maendeleo ya kimataifa wa Uingereza Justine Greening alisema jana kwamba uingereza itasitisha msaada wa moja kwa moja kwa Afrika kusini unaokaribia dola milioni 29 kila mwaka.&#160; Greening amesema alishauriana na maafisa wa Afrika Kusini kabla ya uwamuzi kuchukuliwa na kwamba walikubaliana hivi ...</description> <link>http://www.voaswahili.com/content/afrika-kusini-imeshangazwa-na-uwamuzi-wa-uingereza/1652063.html</link> <guid>http://www.voaswahili.com/content/afrika-kusini-imeshangazwa-na-uwamuzi-wa-uingereza/1652063.html</guid> <pubDate>Tue, 30 Apr 2013 21:05:24 +0000</pubDate> <category>Afrika</category>  <comments>http://www.voaswahili.com/content/afrika-kusini-imeshangazwa-na-uwamuzi-wa-uingereza/1652063.html#relatedInfoContainer</comments> <enclosure url="http://gdb.voanews.com/4530FF10-3C3C-4446-A820-B967FC4F8E92_cx0_cy0_cw0_w800_r1.jpg?nocache=1" length="3123" type="image/jpeg"/> </item>  <item> <title>Waasi wa M23 wakionya kikosi kipya cha Umoja wa Mataifa</title> <description>Waasi wa mashariki mwa Jamhuri ya Kidemokrasi ya Congo-DRC wanasema wanajitayarisha kupambana na kikosi kipya cha Umoja wa mataifa kinachotarajiwa kuwasili huko katika muda wa miezi kadhaa ijayo.

 Ofisa wa kundi la waasi la M23, Stanislas Baleke alisema Jumanne kwamba kundi lake lipo katika tahadhari na tayari kwa mapambano.
&#160;
 Kitisho hicho kimetolewa wakati mazungumzo ya amani yanaonekana kukwama kati ya waasi na serikali ya Congo.

 Wapiganaji wa kundi la M23 waliteka mji mkuu wa jimbo ...</description> <link>http://www.voaswahili.com/content/waasi-wa-m23-wakionya-kikosi-kipya-cha-un/1651606.html</link> <guid>http://www.voaswahili.com/content/waasi-wa-m23-wakionya-kikosi-kipya-cha-un/1651606.html</guid> <pubDate>Tue, 30 Apr 2013 13:28:19 +0000</pubDate> <category>Habari</category>   <enclosure url="http://gdb.voanews.com/065AD539-267C-4CE9-9FAF-230A0ED17ED7_cx0_cy0_cw0_w800_r1.jpg?nocache=1" length="3123" type="image/jpeg"/> </item>  <item> <title>Umuhimu wa chanjo kwa watoto</title> <description>Mamilioni ya watoto wa chini ya umri wa miaka mitano wamepewa chanjo katika wiki ya mwisho ya mwezi Aprili kote duniani.</description> <link>http://www.voaswahili.com/content/umuhimu-wa-chanjo-kwa-watoto/1651457.html</link> <guid>http://www.voaswahili.com/content/umuhimu-wa-chanjo-kwa-watoto/1651457.html</guid> <pubDate>Tue, 30 Apr 2013 04:41:00 +0000</pubDate> <category>Afya</category> <author>Josephat Kioko</author> <comments>http://www.voaswahili.com/content/umuhimu-wa-chanjo-kwa-watoto/1651457.html#relatedInfoContainer</comments> <enclosure url="http://gdb.voanews.com/3560A503-8138-4A75-9668-E02737464A75_cx0_cy0_cw0_w800_r1.jpg?nocache=1" length="3123" type="image/jpeg"/> </item>  <item> <title>Kinshasa yasuta madai ya waasi wa M23</title> <description>Msemaji wa serikali ya DRC Lambert Mende asema waasi ndiyo waliojiondoa kwenye mazungumzo ya amani ya Kampala</description> <link>http://www.voaswahili.com/content/kinshasa-yapinga-madai-ya-waasi-wa-m23/1651444.html</link> <guid>http://www.voaswahili.com/content/kinshasa-yapinga-madai-ya-waasi-wa-m23/1651444.html</guid> <pubDate>Tue, 30 Apr 2013 02:30:31 +0000</pubDate> <category>Afrika</category>  <comments>http://www.voaswahili.com/content/kinshasa-yapinga-madai-ya-waasi-wa-m23/1651444.html#relatedInfoContainer</comments> <enclosure url="http://gdb.voanews.com/98B8BF21-1D82-483D-8599-0E721E812BBF_cx0_cy0_cw0_w800_r1.jpg?nocache=1" length="3123" type="image/jpeg"/> </item>  <item> <title>Wafanyakazi wa Korea Kusini warudi nyumbani kutoka Kaesong.</title> <description>Korea Kusini inasema kurudi kwa wafanyakazi wake waliobaki kwenye eneo la kiwanda inachokiendesha ikishirikiana na Korea Kaskazini kumecheleshwa kwa kile ilichokiita taratibu za dakika za mwisho za kiutawala.

 Msemaji wa wizara ya muungano ya Korea Kusini aliiambia VOA kwamba Kaskazini na Kusini wanamalizia mazungumzo ya mwisho ya ushauri juu ya masuala ya utendaji kuhusiana na eneo la kiwanda cha Kaesong. Hatua hiyo itavunja mahusiano ya mwisho ya amani kati ya wapinzani hao wa rasi&#160; ya ...</description> <link>http://www.voaswahili.com/content/article/1651076.html</link> <guid>http://www.voaswahili.com/content/article/1651076.html</guid> <pubDate>Mon, 29 Apr 2013 17:19:10 +0000</pubDate> <category>Dunia</category>  <comments>http://www.voaswahili.com/content/article/1651076.html#relatedInfoContainer</comments> <enclosure url="http://gdb.voanews.com/A8E81578-4C0C-49F0-90C2-A9304E1C4EE7_cx0_cy0_cw0_w800_r1.jpg?nocache=1" length="3123" type="image/jpeg"/> </item>  <item> <title>Kiongozi wa waasi alaumu Serikali DRC.</title> <description>Mazungumzo hayo yalifuatia makubaliano ya viongozi katika mkutano wa kimataifa kwenye nchi za maziwa makuu kusaidia kumaliza ghasia mashariki mwa DRC.</description> <link>http://www.voaswahili.com/content/article/1650617.html</link> <guid>http://www.voaswahili.com/content/article/1650617.html</guid> <pubDate>Mon, 29 Apr 2013 02:46:09 +0000</pubDate> <category>Afrika</category>   <enclosure url="http://gdb.voanews.com/2CC7CB74-A750-4765-BE65-E9C3F0465CE6_cx0_cy0_cw0_w800_r1.jpg?nocache=1" length="3123" type="image/jpeg"/> </item>  <item> <title>Viongozi wa Afrika Mashariki hawajaidhinisha sarafu ya pamoja</title> <description>Viongozi wa nchi tano za Jumuiya ya Afrika Mashariki wamemaliza mkutano wao mkuu wa 11 nje kidogo ya&#160; jiji la Arusha bila ya kuchukua uwamuzi juu ya kutekelezwa&#160; makubaliano ya soko la pamoja na kuanzishwa kwa sarafu ya pamoja.

 Viongozi hao wamerudisha ripoti na kuwataka mawaziri wao kutanzua masuala kadhaa yaliyobakia walokuwa nayo. Hata hivyo viongozi hao kutoka Tanzania Kenya Uganda Burundi na Rwanda wamesisitiza juu ya umuhimu wa kuimarisha mazingira ya biashara huru na ...</description> <link>http://www.voaswahili.com/content/article/1650520.html</link> <guid>http://www.voaswahili.com/content/article/1650520.html</guid> <pubDate>Sun, 28 Apr 2013 18:52:46 +0000</pubDate> <category>Afrika</category>  <comments>http://www.voaswahili.com/content/article/1650520.html#relatedInfoContainer</comments> <enclosure url="http://gdb.voanews.com/41B5DF5B-8D73-4EB1-B429-4AC8FA9D9CCA_cx0_cy0_cw0_w800_r1.jpg?nocache=1" length="3123" type="image/jpeg"/> </item>  <item> <title>Kandanda Wiki hii, Aprili 26, 2013</title> <description></description> <link>http://www.voaswahili.com/media/photogallery/1649902.html</link> <guid>http://www.voaswahili.com/media/photogallery/1649902.html</guid> <pubDate>Fri, 26 Apr 2013 21:40:00 +0000</pubDate> <category>Katika Picha</category>  <comments>http://www.voaswahili.com/media/photogallery/1649902.html#relatedInfoContainer</comments> <enclosure url="http://gdb.voanews.com/F2EFBFFA-4795-43B3-944A-BC955BFDEFBC_cx0_cy5_cw0_w800_r1.jpg?nocache=1" length="3123" type="image/jpeg"/> </item>  <item> <title>Mshukiwa wa mabomu ya Boston ahamishiwa  jela.</title> <description>Maafisa wa Marekani wanasema mshukiwa wa mabomu yaliyolipuliwa wakati wa Boston Marathon,&#160; Dzhokar Tsarnaev amehamishiwa kwenye kituo cha afya katika jela ya&#160; serikali kuu kutoka hospitali ambapo alikuwa akipata matibabu kwa majeraha aliyopata wakati alipokamatwa wiki iliyopita.

 Idara ya usalama ya Marekani ilisema Ijumaa kwamba Tsarnaev&#160; alihamishiwa kwenye kituo cha afya cha&#160; serikali kuu&#160; cha Devens kwenye eneo la&#160; kituo cha jeshi huko Fort&#160; Devens, ...</description> <link>http://www.voaswahili.com/content/article/1649374.html</link> <guid>http://www.voaswahili.com/content/article/1649374.html</guid> <pubDate>Fri, 26 Apr 2013 13:36:55 +0000</pubDate> <category>Marekani</category>  <comments>http://www.voaswahili.com/content/article/1649374.html#relatedInfoContainer</comments> <enclosure url="http://gdb.voanews.com/88BA8862-FC88-4415-BB40-3CB67AF2DDA7_cx0_cy0_cw0_w800_r1.jpg?nocache=1" length="3123" type="image/jpeg"/> </item>  <item> <title>Kenyatta atangaza majina zaidi ya mawaziri-wateule</title> <description>Rais wa Kenya Uhuru Kenyatta ametangaza majina 12 zaidi ya wajumbe wa&#160; baraza lake la mawaziri ambalo linajumuisha wanawake sita katika nyadhifa muhimu kama vile wizara ya ulinzi na mambo ya nje.
&#160;
&#160;Akizungumza nje ya Ikulu Alhamis wakati alipowatambulisha wateuliwa hao Rais Kenyatta alisema pendekezo lake la majina kwenye baraza la mawaziri linaelezea nia ya dhati ya utawala wake katika kufanya kazi na makundi mchanganyiko.

 “Kama ninavyofahamu, hakuna wizara ya vijana, hakuna ...</description> <link>http://www.voaswahili.com/content/kenyatta-atangaza-majina-zaidi-ya-mawaziri-wateule/1648685.html</link> <guid>http://www.voaswahili.com/content/kenyatta-atangaza-majina-zaidi-ya-mawaziri-wateule/1648685.html</guid> <pubDate>Thu, 25 Apr 2013 14:20:05 +0000</pubDate> <category>Habari</category>  <comments>http://www.voaswahili.com/content/kenyatta-atangaza-majina-zaidi-ya-mawaziri-wateule/1648685.html#relatedInfoContainer</comments> <enclosure url="http://gdb.voanews.com/A2011B49-3729-4A8E-8C41-3A0D802CDA59_cx0_cy0_cw0_w800_r1.jpg?nocache=1" length="3123" type="image/jpeg"/> </item>  </channel> </rss> 