2017 Presidential Inauguration
Sherehe za kuapishwa kwa Rais wa Marekani zinafanyika Ijumaa, Januari 20 ambapo Donald Trump na Michael R. Pence watakula kiapo. Utawala wa rais mpya unaanza saa sita mchana siku ya sherehe hizo, baada ya kula kiapo kitakachotolewa na Jaji Mkuu wa Mahakama Kuu. Matukio maalum, sherehe na matamasha yenye watu maarufu yatakuwa sehemu ya sherehe sehemu kadha za jiji la Washington, D.C