Upatikanaji viungo

Breaking News
Ijumaa, Aprili 19, 2024 Local time: 07:47

Ajali barabarani Tanzania zaongezeka


Ajali barabarani Tanzania zaongezeka
please wait

No media source currently available

0:00 0:04:33 0:00

Matukio ya ajali mbaya za barabarani Tanzania hivi karibuni zinasemekana kuwa ishara ya ongezeko la uzembe na kutozingatia sheria za usalama barabarani, kulingana na watalaam.

XS
SM
MD
LG