Upatikanaji viungo

Breaking News
Jumanne, Machi 19, 2024 Local time: 08:38

Somalia yafufua kilimo baada ya miongo kadhaa ya vita


Somalia yafufua kilimo baada ya miongo kadhaa ya vita
please wait

No media source currently available

0:00 0:04:37 0:00

Serikali ya Somalia kwa msaada wa idara ya Umoja wa Mataifa ya Chakula na Kilimo FAO, na Idara ya Chakula Duniani WFP, wameweza kuwasaidia wakulima wa majimbo ya kati kufufua kilimo na kuanza kuzalisha chakula chenye lishe bora.

XS
SM
MD
LG