Upatikanaji viungo

Breaking News
Ijumaa, Machi 29, 2024 Local time: 15:59

Christmas yasherehekewa kote duniani

Maelfu ya watu walijitokeza katika uwanja wa St. Peter's Square huko Vatican kumsikiliza Papa Francis katika misa yake ya pili ya Krismas kama kiongozi wa kanisa katoliki. Na kwingineko duniani watu walijitokeza katika ibada mbali mbali.

Pandisha zaidi

Makundi

XS
SM
MD
LG